Skip to main content

Posts

IFAHAMU ZAIDI IMANI YA MITUME

Je, wewe unafahamu nini kuhusiana na Imani ya Mitume (inayounganisha wakristo Ulimwenguni mwote) ambayo Wakristo wengi ulimwenguni huungana pamoja katika kuikiri? Katika makala hii tutajifunza kwa ufupi juu ya Imani ya Mitume. Ni matumaini yangu kuwa makala hii itakufungua angalau kidogo katika kuifahamu Imani ya Mitume, na kuungana na Wakristo wengine katika kuikiri.  Kanuni za Kiimani Tangu kuanzishwa kwa Kanisa, Wakristo walitengeneza miuhtasari mifupi na rahisi ya imani. Mihutasari hii mifupi ilijulikana kama hihtasari ama kanuni za imani. Mojawapo ya Mihtasari hii mifupi ni Imani ya Mitume. Watu walipokuwa wakijiandaa kwa ubatizo katika karne za mwanzo za Kanisa la Kikristo walijifunza muhtasari mfupi wa kile ambacho Wakristo wote walikiamini. Mojawapo ya mihtasari hii ya Imani ni Imani ya Mitume ambayo ilikubalika na kupokelewa kwa upana katika kanisa, kwasababu ilionekana kuwa na   mafundisho muhimu kutoka kwa wale mitume 12 waliokuwa wafuasi wa kwanza wa Yesu. Ilikuwa ni kati
Recent posts

LEARN MORE ABOUT GOD'S COVENANT WITH ADAM

  In a recent article we learned about covenants that God made with man to administer and spread His kingdom on earth. These covenants were made in the Old Testament, while the New Covenant was made through Christ in the New Testament, if you have not yet read the article, please CLICK HERE TO READ .   We learned that the first covenant God made with man in the Bible is the covenant He made with Adam ( Genesis 1-3, Hosea 6:7 ). This was a fundamental covenant to man and was the basis for all the other covenants that followed later. This covenant provided the goals of God's Kingdom and the role and responsibilities of man in God's kingdom on earth before and after the fall of man. In the covenant with Adam, man was created in the image of God to work the garden, administer and spread God’s kingdom throughout the entire world ( Genesis 1:27-28; 5:1-2 ). God created the world and mankind, showing He is the supreme ruler of all that He created. He created Adam and Eve as priest

JIFUNZE ZAIDI JUU YA AGANO LA MUNGU NA ADAMU

  Katika Makala iliyopita tulijifunza juu ya maagano ya Mungu aliyofanya na mwanadamu ili kusimamia, kuratibu, na kueneza ufalme wake duniani. Maagano haya yalikua ni yale yaliyofanyila katika Agalo la kale, kama haujafanikiwa kuisoma Makala hii tafadhali BOFYA HAPAKUISOMA . Tulijifunza kuwa, Agano la kwanza ambalo Mungu alifanya na mwanadamu katika Biblia ni Agano alilolifanya na Adamu ( Mwanzo 1-3, Hosea 6:7 ), Hili lilikuwa ni agano la msingi kwa mwanadamu na lilikuwa ni msingi wa maagano mengine yote yaliyofuata baadaye. Agano hili lilitoa malengo ya Ufalme wa Mungu na wajibu na majukumu ya mwanadamu katika ufalme wa Mungu hapa duniani kabla na baada ya mwanadamu kutenda dhambi na kwenda kinyume na Mungu. Katika Agano na Adamu, mwanadamu aliumbwa kwa mfano wa Mungu ili kuratibisha shughuli na kueneza ufalme wa Mungu ulimwenguni kote ( Mwanzo 1:27-28, 5:1-2 ). Mungu aliumba ulimwengu na wanadamu, akionyesha yeye ndiye mtawala mkuu wa wote na vyote alivyoviumba. Aliwaumba Adamu na

LEARN THE COVENANTS GOD MADE WITH MAN IN THE OLD TESTAMENT

Do you know the covenants God made with His people and what they mean to you as a believer? If not, worry out, you will have the privilege to learn all about them on this article. If you find this article educative and interesting, do feel free to share it with friends and family members so they can have the opportunity to learn more about these covenants that God made with mankind to develop, administer, and spread His kingdom from Heaven to earth. When we pray by saying 'Thy kingdom come, thy will be done on earth as it is in heaven' this is the kingdom of God we are talking about. God through His covenants with man was administering and spreading His kingdom on earth. In these covenants we learn how God was cooperating with man in administering of His kingdom.   It is very difficult to find Christians in modern world talking about covenants. But the truth is, we as Christians and believers in the Lord Jesus Christ are called upon to learn and meditate upon these covenant

JIFUNZE MAAGANO MUNGU ALIYOYAFANYA NA MWANADAMU KATIKA AGANO LA KALE

  Je unayafahamu maagano ambayo Mungu alifanya na watu wake na maana yake? Kama bado, basi waweza kujifunza hapa kwenye makala ya leo. Pia waweza kushare na mwenzako ili naye aweze kujifunza zaidi juu ya maagano haya ambayo Mungu alifanya na wanadamu ili kuendeleza, kuratibisha, kusimamia, na kueneza ufalme wake toka Mbinguni hadi duniani alipo mwanadamu aliyemuumba kwa mfano wake. Pale tunaposali sala ya Baba yetu wa mbinguni kwa kusema ‘Ufalme wako uje, mapenzi yako yatimizwe duniani kama huko Mbinguni’ huu ndio ufalme wa Mungu tunao uzungumzia. Mungu kupitia maagano yake na mwanadamu alikua akisimamia na kueneza ufalme wake hapa duniani. Katika maagano haya tumajifunza ushirikiano wa Mungu na mwanadamu katika usimamizi na utawala wa ufalme wake. Ni ngumu sana kuwakuta wakristo katika ulimwengu wa sasa wakizungunza kuhusu maagano. Lakini ukweli ni kwamba, sisi kama wakristo katika kanisa la Kristo yatupasa kukumbuka na kuyajadili maagano haya ambayo Mungu alifanya na wanadamu. Maag